Ndugu watanzania London, kwa niaba ya uongozi wa Jumuiya ya Watanzania Pokea njia ya mawasiliano na uongozi wenu.
Mawasiliano na Uongozi tumia:-
e-mail: communication.ta.london@gmail.com
phone: (+44) 07940929447
Mwenyekiti wa Jumuiya:-
e-mail: chairman.ta.london@gmail.com
phone: (+44) 07538063536
Tunakaribisha maoni, mawazo, ushauri na ushirikiano wenu nyote. Mwenye jambo lolote msisite kuja tupo kwa ajili yenu.
Shukran

Comments
Post a Comment