BANDA LA TA READING LATINGISHA NDANI YA READING CARNIVAL...!!!

 Banda la TA Reading Funika bovu
 Mhe. Naibu Balozi Kilumanga akijitayarisha kuchukua msosi
 Bongo Fleva wakiwa mzigoni
 Afisa wa Ubalozi Amosi Msanjila (kulia) akiwa na Mpwa wake ndani ya Carnival
Dello (katibu wa TA Reading) akifanya makamuzi ya kuku wa kuchoma
 Mhe. Naibu Balozi akiwa na wadau wa Reading wakati wa Carnival
Wadau wa reading wakila pozi ndani ya banda na TA Reading wakiwa na Berry Black
 Frank Eyembe kutoka Urban Pulse akila pozi na msanii Berry Black
 Mpaka watasha walipagawa na Banda la Kibongo
Mdau Paul Onyango Kutoka Bongo Fleva (kushoto) akiwa na wadau wa Reading
 Timu ya urban pulse ndani ya banda la TA Reading
 Watu wa kumwaga
Umati ulikuwa wa kutisha

Comments