MAMBO YALIVYO KUWA NDANI YA CARNIVAL 28 AUGUST 2011...!!!

 Jestina akiwa katika pose na warembo kabla ya kuanza carnival
 Nguo za rangi zilirembesha carnival
Dogo akiwa na mama yake ndani ya costume yake
Watoto wakiserebuka
 Jestina akiwa katika picha ya pamoja na wachezaji wa Jamaican Twist
 Watoto wakiwa tayari kucheza na mavazi yao rasmi

 Mziki ukiendelea mtaani watot wakijiachia

chezea carnival
Wadau wakila pozi na Jestina
Jestina akijiachia na wachezaji kutoka Brazil
 
Parade imeanza
Washikaji wakipata menu na nguo zao za urembo
 Frank akiwa mzigoni huku  ngoma zikiendelea
 Jestina katika pozi na wanaparade
 Mtoto akiwa katika vazi maalamu linalo wakilisha michezo ya olympics itakayo fanyika mwaka kesho
 Palikuwa hapatoshi watu wakumwaga
 Page kutoka X-Factor aliye kuja kutoa support kwa Mish wakati wa show
 Page kutoka X-Factor ya mwaka jana akiwa na wadau
 Mtoto akiwa na vazi lake maalum
 Mapozi
Watu ni full kujiachia live....
 Msafara wa watoto ukizunguka Notting Hill
 Mdau akiwa na vazi rasmi
 Mrembo akitoa burudani
 Mish na Jestina katika pose kabla ya kupiga show
 Msanii pekee Mish aliye perfom kutoka Urban Pulse akifanya makamuzi
 Kila kona na mitaa ya Notting Hill ilikuwa imefurika watu
Malori yakipita mtaani huku yakipiga mziki mzito
Mshikaji akila chambo kutoka ghorofani
 Kila mtu alikuwa busy kuwa sehemu ya carnival
 Baba na mwana wakifuatilia carnival kutotka dirishani
Hata wazee hawakupitwa na kitu
Salam,

URBAN PULSE CREATIVE wakishirikiana na Miss Jestina Blog wanakuletea matukio katika picha ya Notting hill Carnival iliyofanyika Jumapili tarehe 28 agosti 2011. Hii  ilikuwa siku ya kwanza  Carnival ya watoto ambayo hufanyika kila mwaka tangu mwaka 1964 ikifuatiwa kesho yake siku ya jumatatu ikiwa siku ya watu wazima.  Maelfu ya watu zaidi walijitokeza katika mitaa ya Notting hill wakati wa Carnival ya jana ambayo ni tofauti na miaka yote pia nyongezo ya polisi 1000 wa ziada na kufanya Jumla ya polisi 6500 kwa ajili ya usalama na kufanikisha shuguli nzima ya wanachi walio hudhuria. Hii inatoka na maasi yaliyo tokea hivi karibuni katika kitongoji cha Tottenham na sehemu nyingine  nchini Uingereza.  Jumla ya watu 53 wanashikiliwa na polisi kutokana kutaka kufanya fujo jana katika carnival.

Hii ni Carnival kubwa kuliko zote za mabara ya ulaya na ni ya pili kwa dunia

Msanii Kutoka Urban Pulse alifanya makamuzi katika Carnival hii iliyohudhuriwa na watu wengi, mmojawapo wa wadau waliojitokeza kumuunga mkono ni msanii Page kutoka Xfactor.

Asanteni,

URBAN PULSE CREATIVE NA MISS JESTINA BLOG 

Comments