LUCILLE DAMAS KOMBANI'S SEND OFF PARTY NDANI YA UKUMBI WA MAGADU MOROGORO...!!!

 Bi Harusi Mtarajiwa,Lucille Damas Kombani akiwa katika tabasamu zito usiku huu wakati wa sherehe yake ya kuagwa na wazazi wake (Send Off) inayofanyika katika ukumbi wa Magadu,maeneo wa SUA,mjini Morogoro usiku huu.
 Bi. Lucille Damas Kombani akiwa na Matron wake usiku huu
 Lucille Damas Kombani akikata keki
 Matron akimlisha kipande cha keki  Bi. Harusi mtarajiwa Luicille Damas Kombani
keki ya Samaki
Mama wa Bi. Harusi,Mh. Celina Kombani akiongozana na Mke wa Rais wa Zanzibar,Mama Mwanamwema Shein wakimpongeza kijana wao usiku huu katika ukumbi wa Magadu,uliopo Mjini Morogoro.
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma,Mh. Said Mwambungu akitoka kumpongeza Bi. Lucille.
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro,Mh. Joel Bendera nae akitoka kutoa pongezi zake
Mama wa Bi. Harusi,Mh. Celina Kombani (kushoto) akiwa na Mke wa Rais wa Zanzibar,Mama Mwanamwema Shein (katikati) pamoja na Mh. Hawa Ghasia. 
meza kuu ya wazazi wa Bi. harusi
Picha zote kwa hisani ya Michuzi Blog

Comments

  1. CongratsLucille Kombani nimeona mpz...ulipendeza mnooooo...i wish i was thea ..jaman iyo keki nimeipenda.ni samaki wakweli???

    ReplyDelete
  2. Hongera mpnz mungu azid kukutangulia.

    ReplyDelete
  3. cograts hun Mungu akupe nguvu

    ReplyDelete
  4. wooow beautful bride

    ReplyDelete
  5. jamni ulipendeza wewe duhhhhhh hadi na mimi natamni lol

    ReplyDelete
  6. Congrats mingi mingi Lucille Kombani

    ReplyDelete
  7. wii ulipendeza jaman c mchezo hongera sana

    ReplyDelete
  8. alipendeza sana bi dada.

    ReplyDelete

Post a Comment