WAFANYAKAZI WA VODACOM IDARA YA NETWORK WATOA MSAADA KWENYE KITUO CHA KULEA WATOTO...!!!

 Baadhi ya wafanyakazi wa idara ya uwezeshaji huduma ya mtandao wa Vodacom Tanzania wakifurahia jambo wakati wa hafla ya kukabidhi michango yao ya vifaa mbalimbali kupitia kampeni ya Pamoja na Vodacom, yakiwemo magodoro, vyandarua , vifaa vya ujenzi, vyakula na vinginevyo vyote vikiwa na thamani ya takribani milioni 4 kwenye kituo cha kulea watoto wanaoishi katika mazingira magumu  cha Mwandaliwa kilichopo Bunju nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam.
 Mkurugenzi  wa kituo cha kulea watoto wanaoishi katika mazingira magumu  cha Mwandaliwa kilichopo Bunju nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam, Halima Mpeta, ( kulia) akizungumza na mmoja wa wafanyakazi wa idara ya uwezeshaji huduma ya mtandao wa Vodacom Tanzania, Precious Huggins, wafanyakazi wa hao kupitia kampeni ya"Pamoja na Vodacom"wamechangia vifaa mbalimbali vyenye thamani ya takribani sh milioni 4 kwa watoto waishio kituoni hapo.
 Baadhi ya wafanyakazi wa idara ya uwezeshaji huduma ya mtandao wa Vodacom Tanzania wakishusha magodoro  wakati wa hafla ya kukabidhi michango yao ya vifaa mbalimbali kupitia kampeni ya Pamoja na Vodacom, vikiwemo  vyandarua , vifaa vya ujenzi, vyakula na vinginevyo vyote vikiwa na thamani ya takribani sh milioni 4 kwenye kituo cha kulea watoto wanaoishi katika mazingira magumu  cha Mwandaliwa kilichopo Bunju nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam
 Mmoja wa wafanyakazi wa idara ya uwezeshaji huduma ya mtandao wa Vodacom Tanzania, Pendo Boshe, akishusha magodoro  wakati wa hafla ya kukabidhi michango yao ya vifaa mbalimbali kupitia kampeni ya Pamoja na Vodacom, vikiwemo  vyandarua , vifaa vya ujenzi, vyakula na vinginevyo vyote vikiwa na thamani ya takribani sh milioni 4 kwenye kituo cha kulea watoto wanaoishi katika mazingira magumu  cha Mwandaliwa kilichopo Bunju nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam
 Baadhi ya wafanyakazi wa idara ya uwezeshaji huduma ya mtandao wa Vodacom Tanzania wakiwa katika picha ya pamoja na watoto wanaoishi katika mazingira magumu  wa kituo cha  Mwandaliwa kilichopo Bunju nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam,  wakati wa hafla ya kukabidhi michango yao ya vifaa mbalimbali kupitia kampeni ya Pamoja na Vodacom, vikiwemo  vyandarua , vifaa vya ujenzi, vyakula na vinginevyo vyote vikiwa na thamani ya takribani sh milioni 4
 Mwakilishi miongoni mwa  wa wafanyakazi wa idara ya uwezeshaji huduma ya mtandao wa Vodacom Tanzania, Precious Huggins , akizungumza kwa niaba ya wenzake  wakati wa hafla ya kukabidhi michango yao ya vifaa mbalimbali kupitia kampeni ya Pamoja na Vodacom, vikiwemo  vyandarua , vifaa vya ujenzi, vyakula na vinginevyo vyote vikiwa na thamani ya takribani sh milioni 4 kwenye kituo cha kulea watoto wanaoishi katika mazingira magumu  cha Mwandaliwa kilichopo Bunju nje kidogo ya jiji la Dar es Sal aam
Mkurugenzi  wa kituo cha kulea watoto wanaoishi katika mazingira magumu  cha Mwandaliwa kilichopo Bunju nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam, Halima Mpeta, akikata keki aliyokabidhiwa na wafanyakazi wa idara ya uwezeshaji huduma ya mtandao wa Vodacom Tanzania  kama ishara ya upendo na moyo wa kujali wakati wafanyakazi hao walipotembelea kituoni hapo sambamba na kukabidhi michango yao ya vifaa mbalimbali kupitia kampeni ya Pamoja na Vodacom vyenye thamani ya takribani sh milioni 4

Comments