Wenje achafua bunge. asema CUF ni chama cha liberal kinachounga mkono ndoa ya jinsia moja, ushoga na usagaji! wabunge wa CUF waja juu na kumpromoshea matusi na kumtaka aondoe hayo maneno. yeye akaanza kutoa ufafanuzi lakini wabunge wote wa CUF wakasimama na kuanza kumfokea Wenje kwa maneno makali huku wakisisitiza kuwa bila kuondoa hayo hakisomwi kitu leo! Naibu Spika kasitisha bunge mpaka ...
Zaidi angalia video hapo chini

Comments
Post a Comment