CEO WA KWETU FASHION aka MISS TEMEKE AWATAKIENI KHERI YA MWAKA MPYA 2015

Mbunifu wa Mitindo na CEO wa khetu fashion, kwa heshima na taadhima anapenda kutoa salamu za MWAKA MPYA wa 2015 kwa wadau wote popote mlipo ulimwenguni. 
 Nitakuwa mtovu wa fadhila endapo kama sintosema kwamba bila ninyi kwetu fashion  isingelinoga. 
Asanteni sana na nawashukuru kwa kampani mnayonipa, tuendelee kupendana kwani naamini pamoja tunaweza  kufika pale tunapotaka, Basi tukutane tena 2015 kuna mambo mapya na makubwa sana yanakuja kutoka Kwetu Fashion na Miss Temeke 




ukiachia ubunifu wa mavazi Kwetu fashion pia wanapamba watu na kuwaweka makeup kwa shughuli yoyote ile.
unaweza kuwasiliana nao kwa njia ya email au nambari yao ya simu hapo juu

Comments