Mwimbaji staa wa Tanzania Diamond Platnumz alikutana na mtangazaji wa AMPLIFAYA& Top 20 za CloudsFMMillard Ayona kuzungumzia post na comments ambazo amekua akiziona zikisema mtoto sio wake na kwamba akapime DNA, majibu yake yote aliyoyatoa yapo kwenye hii video hapa chini
Comments
Post a Comment