Abdu Kiba afata nyayo za Kaka yake Ali Kiba na Kuweza Kumuoa Bibie Ruy on April 23, 2018 Get link Facebook X Pinterest Email Other Apps Siku ya Alhamis Ali Kiba alioa kule Mombasa nchini Kenya na Siku ya Jumapili ambayo ni jana tarehe 22 . Amefunga ndo na Bi Ruy kule Magomeni,Nahisi watafanya sherehe ya pamoja siku ta tarehe 29 wako smart wanaua ndege wawili kwa jiwe moja. Comments
Comments
Post a Comment