Balenciaga waja na T-shirt shirt Kibongo bongo ni Million Tatu kasoro

Pale designers wanapo amua kuja na nguo ambazo wanajua mbali na kwamba wengi hawataweza kuzinunua wanahakikisha mtaziongelea sana nguo zao.

ndo kilichotokea kwa Balenciaga walioamua kuja na t shirt shirt ambayo mbele ni shirt na nyuma ni t shirt unaweza kuvaa t shirt shati likakaa tu mbele au ukavaa shati t shirt ikaning'inia kwa nyuma.
Watu wameponda sana bei yake ya $1290 but at the end of the day hawatengenezi kwa normal people maana wengi hawanunui bei kubwa sana mnaishia kuponda tu.

kwanza utavaa t shirt kama hii???
pili uta splurge milioni 3 kasoro for this???
wakati unaona huu ni upuuzai kuna wenye hela mradi tu wavae designer t shirt ,its not about the money ni ile pride 
ngoja tuwapishe




Comments