Rais Magufuli akubali Kinana kujiuzulu, Keisha achaguliwa NEC

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Polepole imesema kuwa Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais John Magufuli, ameridhia uamuzi wa kujiuzulu kwa Katibu Mkuu wa chama hicho, Abdulrahman Kinana.



Comments