Rais Magufuli amteua Waziri Mkuu Mstaafu, Mizengo Pinda
on
Get link
Facebook
X
Pinterest
Email
Other Apps
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM, Dkt John Pombe Magufuli amewateua Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo Pinda na Makongoro Nyerere, kuwa wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM (NEC).
Comments
Post a Comment