Agizo la Mkurugenzi Bodi ya Mikopo kwa wanafunzi wanaohitaji Mikopo

Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu ambapo imefanya tathimini ya usajili wa wanafunzi wanaoomba mikopo ambapo wanafunzi 18,000 wamekamilisha maombi yao.
Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi hiyo, Abdul- Razaq Badru amewataka wanafunzi kuwahi kuwasilisha maombi yao kabla muda haujaisha, pia amewataadharisha wanafunzi kuepuka matapeli.

Comments