Hamisa Mobetto Apata Dili la kua balozi,Asema Atamruhusu Lulu Amlee Mtoto wake

Mwanamitindo Hamissa Mobetto amepata shavu na kuingia mkataba wa mwaka mmoja wa kuwa Balozi wa kiwanda kinachotengeneza nywele (rasta) cha Prima Afro, kilichopo maeneo ya Tabata Matumbi jijini Dar es Salaam



Hongera sana Hamisa tunapenda kuona unapiga kazi kama hivi   

Mwanamitindo Hamisa Mobetto amejibu baadhi ya maswali aliyohojiwa na Ayo TV ikiwemo swala la kuonana na muigizaji Elizabeth Michael a.k.a Lulu baada ya kutoka gerezani huku ikiwa Lulu anasemekana kuwa mapenzini na mwanaume aliyezaa na Hamisa mtoto wa kwanza

Comments