Baraka The Prince Abadili Dini na kuwa Muislam jina lake ni ABDULMALIK

Mwimbaji wa Bongofleva Baraka The Prince ambae ameachia ngoma mpya ya ‘furaha’ inayopatikana kwenye Youtube yake ya AfricanPrinceVEVO .
Ameongelea ishu zake mbalimbali ambapo amekiri kwamba ni kweli amebadili dini kutoka kuwa Mkristo na sasa ni Muislamu na jina lake jipya ni AbdulMalick.


Hapa akiongea na Millard Ayo


Comments