Msanii wa muziki wa kizazi kipya Barnaba amefunguka na kutoa ya moyoni kwa kuwaasa wasanii wa kike wa muziki wa kizazi kipya alimaarufu Bongo Fleva kuhusu uwajibikaji wao katika muziki wahofie kupokonywa kijiti na msanii mwenzao ambaye anafanya vizuri na kibao chake kipya cha ‘Tunaendana’ mwanadada Hamisa Mobetto.
akiongea hayo kupitia ukurasa wake wa Instagram barnaba amefunguka hayo kwa kutoa maoni yake chini ya post ya Hamisa ambayo alipost nyimbo yake hii mpya na Barnaba kuandika kuwa:-


Comments
Post a Comment