Serikali ya Uganda inaongeza vituo hivyo Nchini kote ikilenga kuongeza ufikiaji wa huduma ya Intaneti katika maeneo ya pembezoni mwa Nchi, ikiwemo wakati wa dharura kwa watakaohitaji huduma za Serikali
Hadi sasa Uganda imeweka vituo 600 vya Wi-Fi katika Mikoa mbalimbali ambapo 300 kati yao vipo Jijini
Comments
Post a Comment