TANZANIA NI YA 4 KATI YA NCHI 50 NZURI DUNIANI

Jarida la Forbes linaiandika Tanzania kuwa nchi ya 4 kwa uzuri duniani kutokana na vivutio na mandhari nzuri iliyopo katika maeneo mbalimbali ya nchi ambayo huvutia wageni kusafiri na kuja kujionea.

Tanzania inashikilia nafasi ya 4 juu ya nchi kubwa kama Marekani na Ufaransa. Hii hapa list ya nchi zote 50:

  1. Indonesia
  2. New Zealand
  3. Colombia
  4. Tanzania
  5. Mexico
  6. Kenya
  7. India
  8. France
  9. Papua New Guinea
  10. Comoros
  11. Ecuador
  12. United States
  13. Vanuatu
  14. Japan
  15. Solomon Islands
  16. Italy
  17. Phillipines
  18. Peru
  19. Australia
  20. Costa Rica
  21. Norway
  22. Argentina
  23. Grenada
  24. Malaysia
  25. Tonga
  26. Iran
  27. Saint Vincent & the Grenadines
  28. Saint Kitts & Nevis
  29. Chile
  30. China
  31. Samoa
  32. Bolivia
  33. Nicaragua
  34. Eritrea
  35. Jamaica
  36. Cape Verde
  37. Greece
  38. Thailand
  39. Venezuela
  40. El Salvador
  41. Myanmar
  42. Uganda
  43. Iceland
  44. Russia
  45. Dominican Republic
  46. Switzerland
  47. Northern Mariana Islands
  48. Haiti
  49. Panama
  50. Sweden
Source: Forbes.com

#Tanzania #Tourism #RoyalTour #TheRoyalTour #Utalii #VisitTanzania #Beautiful Tanzania

Comments