Mkuu wa Mkoa wa Kagera Albert Chalamila amewataja watu 19, walipoteza maisha kwenye ajali hiyo sambamba na manusura ambapo ameeleza kuwa hali zao zinaendelea vizuri huku safari za Ndege mjini Bukoba zikisitishwa kwa muda usiojulikana.
Waziri Mkuu amesitisha shughuli zote za ndege katika uwanja huo, huku Mkuu wa Mkoa wa Kagera akiwataja marehemu hao kuwa ni kuwa ni Neema Faraja, Hanifa Hamza, Aneth Kaaya, Victoria Laurean, Said Malat Lyangana, Iman Paul, Faraji Yusuph, na Lin Zhang.
Comments
Post a Comment