Ukame chanzo tatizo la maji Dar es Salaam: Makala

Tatizo la ngapi wa maji katika huji la Dar es Salaam limechangiwa na hali ya ukame wa muda mrefu kwa kiasi kikubwa, na kusema suala hili ni janga lisilozuilika na si kuilaumu CCM.

Hayo yamebainishwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makala na kuwataka wakazi wa jiji hilo kuendelea kuwa wavumilivu wakati mamlaka zikitafutasuluhu.

Makala ambaye alikuwa akionngea mbele ya Rais Samia katika ufunguzi wa mjadala wa kitaifa wa nishati safi ya kupikia amesema suluhu ya kudumu inaandaliwa baada ya hivi karibuni kusainiwa kwa mradi mkubwa wa maji.

Comments