Taarifa za kijasusi za Marekani, zimesema Korea ya Kaskazini inaisaidia Urusi katika vita dhidi ya Ukraine kwa kuipatia makombora na mizinga ili kufanikisha ushindi katika vita hiyo iliyoanza mapema mwaka huu.
Kwa mujibu wa Data, zilitolewa miezi miwili baada ya mashirika ya kijasusi ya Marekani kueleza tuhuma za Urusi, zinasema Moscow inaweza kununua mamilioni ya makombora kutoka Korea Kaskazini ili kurahisisha mashambulizi yake.
Hata hivyo, taarifa hizi zinakuja wakati ambapo mwezi Septemba 2022, Korea Kaskazini ilikanusha madai ya kutoa makombora kwa Urusi, na bado hakuna ushahidi wowote wa madai hayo.
#zurii #zuriiafrica #zuriiupdates
Comments
Post a Comment