Taaluma za Ajabu zilizokuwa Mauhimiu na Ujira Mzuri enzi Hizo

Fahamu Taaluma za Ajabu ambazo zilikua zaumuhim na za mshahara mzuri enzi hizo lakini kwa sasa Hazipo Tena

Kuna wakati fani fulani zilikuwa na mahitaji makubwa, lakini jinsi jamii yetu ilivyoendelea na kuendelea, baadhi ya fani hizi zilipitwa na wakati.


KENGELE MTU

Miaka ya zamani watu walikuwa wakiajiri watu wengine kuwaamsha asubuhi.

Inaweza kuonekana kuwa ngumu, lakini ilikuwa kazi muhimu sana katika miaka ya 1800.

Hutumia nguzo ndefu kugonga madirisha ya waajiri wao au hata kurusha mbaazi kwenye vioo vya madirisha yao.


WAFUFUA WAFU

uhitaji wa miili ya watu kusomea maswala ya mwili (anatomy) waliajiri “wafufuo" kuiba maiti kutoka kwenye makaburi.

Hawakupendwa na jamii kwa sababu za wazi, taaluma hii ilipitwa na wakati kwa kupitishwa kwa Sheria ya Anatomy mnamo 1832, ambayo ilifanya iwe haramu.


MKAMATA PANYA

Kukamata panya ilikuwa taaluma ya kawaida,kwani panya walikuwa shida kubwa katika miji.

Wakamata panya wangenasa au kuwapiga risasi panya na kuwakabidhi kwa mamlaka.

Ujio wa mbinu za kisasa za kudhibiti wadudu, kama vile dawa za kuua panya, taaluma hii imetoweka.


WASICHANA WAUZA SIGARA

Haswa huko Amerika, katika  miaka ya 1900.

Wangetembea kuzunguka vituo vya kuvuta sigara, kama vile baa na vilabu, wakiuza sigara kwa wateja.

Walakini, taaluma hii ilianza kushuka katikati ya miaka ya 1900 na ujio wa mashine za kujihudumia za sigara.

Inaendelea…

Chanzo: @Mac_hamphrey255

Comments