DUA KUWAOMBEA WALIOPATWA NA AJALI YA MELI ZANZIBAR YAFANYIKA EAST LONDON LEO...!!!

 Jumuiya ya Watanzania Uingereza leo wamejumuika  East  london katika msikiti wa Manor  Park  kuombea dua ndugu zetu waliotutangulia mbele ya haki katika ajali ya Meli pwani ya Nungwi huko Zanzibar. Hafla hii imeandaliwa na Zanzibar welfare  community kwa pamoja na East Africa Foundation.
Wanajumuiya kwenye hafla hiyo
Dua kwa waliotutangulia mbele ya haki na kuwaombea waliojeruhiwa wapate nafuu haraka. Picha na Ayoub Mzee

Comments