MAHEMA YA WAATHIRIKA WA MAFURIKO JIJINI DAR YAENDELEA KUJENGWA ENEO LA MABWE PANDE...!!!

 Askari wa Jeshi la Kujenga Taifa JKT na JWTZ wakijenga mahema ya muda ya kuwahifadhi waathirika wa mafuliko eneo la Mabwe Pande Karibu na Bunju B njia ya Bagamoyo jijini Dar es Salaam leo. 
 Baadhi ya mahema yalio kamilika kujengwa
 Wafanyakazi wa Chama cha Msalaba Mwekundu wakichimba na kufukia shimo la choo cha muda katika makazi ya waathilika na mafuliko eneo la Mabwe Pande jijini Dar es Salaam.Baadhi ya Mahema hayo ya muda yaliyojengwa eneo la Mabwe Pande jijini Dar es Salaam kwa ajili ya waathirika wa Mafuriko yanavyoonekana leo.
Moja wapo ya hema likiwa imefikia hatua za mwisho mwisho
---
Kwa wakazi wa UK Misaada bado inaendelea kupokelewa na kukusanywa mpaka mwisho wa mwezi huu wa January. Hivyo basi kwa wale wote walioshindwa kuweza kufika siku ya jumamosi kutoa michango bado  nafasi ipo. Kumbuka hili ni janga letu wote tafadhali fanya sehemu yako kwa jinsi Mungu anavyokubariki. 

KWA MAWASILIANO ZAIDI KUHUSU MISAADA WASILIANA NA
JESTINA GEORGE 07404332910
FRANK  EYEMBE 07865594576
BARAKA NYAMA 07816981577 



KAMA UNA MCHANGO UNAWEZA KUDEPOSIT KATIKA ACCOUNT IFUATAYO:

BARCLAYS BANK

JINA: TANZANIA ASSOCIATION LONDON Account Number: 23374815 
Sort Code: 20-72-89 
ANDIKA JINA LAKO NA MAFURIKO AS REFERENCE

TUNAWASHUKURU NYOTE KWA KUJALI NDUGU ZETU
Contact us for more info;
CHRIS LUKOSI 07903828119 
SIMON LOUIS (MOHSIN) 07950689243
BRIAN (BABA NJOROGE) 07795160757
HASSAN (RICHARD) 07405159255
HQ -  UNIT 92 THAMES INDUSTRIAL PARK, PRINCESS MARGARET ROAD, EAST TILBURY, RM18 8RHRH

Comments