Ndugu zangu ninasikitika kuwajulisha kuwa Saidi Tamimu amefariki dunia Usiku wa kuamkia Jumapili na mazishi yalifanyika jana saa kumi jioni makaburi ya Tabata Segerea.
Shukrani pekee ziwaendee ndugu walioko UK, USA Norway, Canada Muscat, Dar es salaam,Tabora, Arusha na sehemu nyinge nyingi kwa msaada wao wa hali na mali ikiwemo ushauri na kutoa pole.
Asante sana. Soma Historia Yake Hapa
Asante sana. Soma Historia Yake Hapa
unapenda kutujulisha au unasikitika kutujulisha?
ReplyDelete