Bila shaka una nguvu mpya na malengo zaidi.Nakutakia kila la kheri katika kuyatimiza yote na hata ziada.Mojawapo ya malengo yangu ya mwaka huu ni pamoja na ku-share zaidi ninachokiandika au kukichapisha mtandaoni.Leo naomba nianze na hiki kipima joto.Kuna swali nimeuliza katika kiunganishi hiki http://www.bongocelebrity.com/
2012/01/10/unamuamini-yupi-
zaidi/#axzz1ilV95iaQ.
Nini maoni yako? Unamuamini nani zaidi? Kwanini?
Comments
Post a Comment