BONGO TAMBARAREEEEEEEE LOL...!!!

Nimeitoa hii picha facebook jamani nimecheka sana na nina nukuu:
 "hao wala sio wagonjwa wa akili! Eti Wamefurahi kumuona mkuu wa mkoa wao huyo alievaa Suti nyeusi kutembelea kijiji chao huo mkoani Rukwa!!! duh jamani Bongo hii!!!"
Hapa tu mkuu wa mkoa, je wakimuona Raisi?

Comments

Post a Comment