MISA YA SHUKURANI YA MAREHEMU JULIUS CAESAR MWASONGWE...!!!


Misa ya shukurani ya Marehemu 

Julius Caesar Mwasongwe

08/08/1966 - 15/02/2011

Sekela Davis Mwaikambo pamoja na familia yote ya Mwasongwe/Mwaikambo wanapenda kuwakaribisha kwenye misa maalum ya shukrani ya ndugu yao mpendwa Julius Mwasongwe itakayo fanyika siku ya jumapili tarehe 12/02/12 Saa 4:30 asubuhi katika Kanisa la Barking Baptist, Linton’s road, Barking IG11.
Karibuni sana tujumuike pamoja kumshukuru Mwenyezi Mungu.
Amen.

Comments