Pichani ndo mama aliye kuwa akimfanyia vitendo vya usagaji mwane wakumzaa
---
---
Mwanamama asiyekuwa ha haya mkazi wa Dar es salaam imebainika alikuwa akimsaga mwanae wa kumzaa mwenyewe binti wa miaka 7, alikuwa akimuingiza vidole mwanae huyo kwenye sehemu zake zote mbili za siri kuona haitoshi akaamua kumuingizia na uume wa bandia binti huyo kwa muda usiojulikana ila imebainika kwamba binti huyo ameharibiwa sana sehemu zake zote za siri.
Mama huyo mwenye roho ya kikatili alifikishwa kituo cha polisi na alipohojiwa alisema yeye anaona kama ndoto na labda afungwe miaka 10 ndio atajitambua,ila alionesha kutokujali kabisa what a shame??????
Mama huyo mwenye roho ya kikatili alifikishwa kituo cha polisi na alipohojiwa alisema yeye anaona kama ndoto na labda afungwe miaka 10 ndio atajitambua,ila alionesha kutokujali kabisa what a shame??????
Yaliyojiri baada ya hapo
Baada ya kusikiliza kipindi cha leo cha leo tena na heka heka ya leo.Juu ya mama aliyekuwa akimfanyia mtoto wake wa kike wa miaka saba vitendo vya kisagaji na udhalilishaji mkubwa wa kijinsia. Wengi wamelia na kujiuliza why??
Kwanza kabisa huyu mama alipata mimba ya huyu mtoto akiwa kidato cha kwanza. Hapo alipo mpaka leo haijulikani baba wa huyo mtoto ni nani?amekuwa akiwafanyia huo mchezo hata watoto wengine.Ana umri wa miaka 25 huyo dada.
Wakati anapewa taarifa za mwanae hakushtuka wala kujali kama mama juu ya afya ya mwanae. Sawa alikuwa anakataa hajafanya kitu lakini kama mama hakushtuka kwa lolote.
Baada ya wananchi kumzonga,kumsema,wengine kumpiga akaangua kilio na kusema ''jamani mimi sijui nifanyalo, sijielewi''akaongeza ''naomba niwekwe ndani kwa maana ya jela au sehemu ya peke yangu nisionane na binadamu yoyote nijijue maana sijitambui wala sijielewi kwa nini nafanya hivyo.
Haikutosha akasema ''niueni"
Hapa najaribu kuwaza tu mdau...na bado naendelea kuwaza.
Source: Dina Marios & Nyumbani Kwetu Blog
DOH...ishakua tabu
ReplyDeleteAtakuwa anamatatizo ya akili..kiukweli tena.n anaonekana mkavuu.loh
ReplyDeletemmmmmh....
ReplyDeleteah! alicho kifanya ni kibaya zaidi sema lazima tukubali kua yule dada anatatizo la kisaikolojia kwani nilisikilıza yale mahojiono yake!! nikaamini yaweza kua na yeye alifanyiwa ivyo akiwa mtoto kwani hayuko sawa hata kidogo naamini ataongea ukweli wote ulokua nao kwani mmmhhh! ni tatizo
ReplyDeletemmmh sio kuwa ati sina maoni.. natafakari...natafakari matatizo aliyonayo huyo mtoto.. inaumiza kiasi cha kuwa sina la kusema
ReplyDeleteDunia kwisha!!!unajua lana ya wana wa isreal inaturidia...ila wanawake wamekua MALAYA sana,manaaa!!madada eeeh!
ReplyDeletekwa mungu watakiona,moto utakavyowawakia,hizo fuse zilizoungua kichwani zitakopata re-chargable,sheitwan,Laana kuhm.
ReplyDeleteDah imekuwa ile nyimbo ya kupanda mkomba iwaje asile ndizi, ndio hawa fikra zao, hii ni hatari sana inaonekana mama ndio mchezo wake huyu na ni ufisadi, sio roho ya kikatili kama walivyoandika, alikuwa anataka kufisidi mwanawe kwa kijinsia, masiki kimwana kimeshtoka, then jimama zuri linavutia tu, sijui karokwa Mhhh Bongo kuna viuko nako!
ReplyDeletejamani hyo anaweza akawa mchawi
ReplyDeleteMungu wangu hivi tunaelekea wapi jamani??? mi hadi machozi yamenitoka mtoto wa kumpatia uchungu mwenyewe wamfanyia yote hayo?? je angekuwa wa mwenzie angemfanyaje?Jamani tuwe karibu zaidi na Mungu atuepushe na haya na wamama tujitahidi kulea watoto wetu wenyewe maana mwanao akikutana na mama wa kambo kama huyo inakuaje?? Mungu atusaidie tu.
ReplyDeletesio mzima huyu dada,lazima anatatizo kubwa sana kichwani.maana si rahisi kufanya unyama huo kwa mtoto uliemzaa
ReplyDeleteInawezekana kweli hajui alichokuwa anakifanya kwa maana si akili yake. Anaweza kuwa ana pepo ambalo linafanya hivyo kwa kutumia nafsi yake, kwa hiyo anachohitaji ni maombi ya deliverance. Watu wengi huwa wanafanya vitendo vya ajabu si kwa kupenda kwao wanakuwa wametawaliwa na evil spirits.
ReplyDeletendio... je ni dalili za mwisho wa dunia????
ReplyDeleteAsante Jestina nimesoma, natamani kulia kwa sauti, sina la kusema ila Mungu anaona mengi jamani, mtoto wako kweli inabidi kumrudia Mungu jamani haya ni mapepo
ReplyDeleteyan hainitoki akilini, hlf alimwambia mtoto asikubali kwenda hosptl. Ni ngumu kwa binbdam wa kawaìda kuelewa
ReplyDeleteHaya makubwa. Boooo yaaani sina hata la kusema. Mungu atusaidie na hii dunia
ReplyDeleteHuyu hana pepo wala jini. Ni mazoea na tabia zake mbaya sasa zimegeuka kilema. Alizoea kufanya huko mtaani na wajinga wenzieeeeeeeeee, kachezea vitoto vya watu weeeeeeeeeee, sasa akashindwa ku control tamaa zake kaja malizia hamu zake kwa mwanawe. Alivo kuwa hana haya kanunua mpaka na Dildo anamtenda nayo mwanae. Jana nimesikiliza clouds akihojiwa anaonekana kiburi balaa. Huyu si anyongwe tuuuu jamani! Hapo ndio napoonaga faida ya ile Sharia Law. Yaani hata sijui atajibu nini huyu siku yake ikifika! eeh mungu utunusuru maana mh.........................
ReplyDeleteya mungu mpaka nimelia eheee mwenyezi mungu tuokoe sisi binaadamu yallab
ReplyDelete