TAMKO LA WAZIRI MKUU MHE. MIZENGO PINDA KUHUSIANA NA MAWAZIRI KUJIUZULU...!!!

Baada ya  kuwepo kwa  taarifa za mawaziri nane kujiuzulu.leo baada ya spika wa bunge ANNA MAKINDA kuahirisha  kikao cha bunge mpaka siku ya jumatatu.
Waziri mkuu MIZENGO PINDA ametamka”sijapokea barua yeyote kutoka kwa waziri yeyote kujiuzulu  kama wapo watatuletea ila kwa upande wangu  sijapokea barua yeyote. Pia kuhusiana na habari kuandikwa kwenye magazeti sijafanikiwa kusoma na walasina uhakika na kilicho andikwa.
Ila kwa yeyote ambaye anatakakujua lolote  kuhusu taarifa hizi ntatolea ufafanuzi siku ya Jumatatu”.

Comments