TUMSUPPORT NDUGU WILLIAM MALECELA ILI AWEZE KUSHINDA UBUNGE WA AFRIKA MASHARIKI CCM...!!!

Ndugu William Malecela amemepitishwa kuwa mmoja wapo wa wagombea wa Ubunge wa Afrika Mashariki na Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi walipo kutana tarehe 28 March 2012 jijini Dar es Salaam chini ya Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Mrisho Kikwete.
Katika ukurasa wake wa facebook mgombea huyu ameomba support yako mwananchi na kuandika hivi:
Tumsupport kaka yetu na ndugu yetu kwa kumpigia mbunge yeyote yule unaemfahamu au usiemfahmau na kumuomba ampigie kura William John Samwel Malecela, Jumanne 3 April 2012 ili aweze kushinda Ubunge wa Afrika Mashariki! 
Asanteni sana na Mungu awabariki.
JG
xoxox
Namba za wabunge zinapatikana kupitia tovuti ya Bunge www.parliament.go.tz/bunge/index.php

Comments