‘SUGU’ KUTOA BURUDANI KALI DAR LIVE JUMAPILI HII...!!!

Meneja Mkuu wa Global Publishers Abdalah Mrisho (kushoto) akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu burudani itakayotolewa na Sugu akiwa na wasanii wengine wakali   ambao ni pamoja na Professor J na Juma Nature.  Kulia ni Mratibu wa Shoo za Wasanii Dar Live, Luqman Maloto.
Mratibu wa Burudani na Matukio Dar Live, Juma Mbizo (kushoto) akiwa na Mr II.
Mr II akiongea na waandishi wa habari juu ya onyesho hilo.
 …Akisisitiza jambo.
  Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza mkali huyo.
 Mr II akiwa na wafanyakazi wa Global Publishers ambao, kutoka kushoto ni: Walusanga Ndaki, Sudi Kivea na Clarance Mulisa.  
---

Mwanamuziki mkongwe wa Hip Hop nchini Joseph Mbilinyi aka ‘M II’ au ‘Sugu’ amethibitisha kuwa siku ya Jumapili ijayo (Juni 3) atatoa shoo ya nguvu ndani ya Ukumbi wa Taifa wa Burudani wa Dar Live huko Mbagala, jijini Dar es Salaam.

             (PICHA ZOTE NA ISSA MNALLY/GPL) 

Comments