Kushoto ni Katibu wa CCM DMV Jacob Kinyemi akiongea jambo na kumkaribisha mwenyekiti wa CCM DMV Loveness Mamuya ili awasalimie Watanzania waliojumuika pamoja kwenye Futari ya pamoja iliyotayarishwa na CCM DMV siku ya Ijumaa Aug 3, 2012 Hillandale Park iliyopo Silver Spring, Maryland. Futari hiyo ilianza kwa swala ya magharibi.
Watanzania wa DMV na marafiki zao wakijumuika pamoja kwenye futari ya pamoja iliyoandaliwa na CCM DMV Hillandale Park.
Watanzania wakipata picha ya pamoja walipojumuika pamoja katika futari ya pamoja iliyofanyikia Hillandale Park Silver Spring, Maryland.
Watanzania na marafiki zao wakiwa wamechukua chakula huku wakibadilishana mawili matatu katika futari ya pamoja iliyoandaliwa na CCM DMV.
Nguo za rangi ya kijani na njano ndizo nyingi zilizokua zimetawala ndani ya ukumbi wa Hillandale Park katika futari ya pamoja iliyotayarishwa na CCM DMV.
Watanzania waliojumuika pamoja katika futari ya pamoja iliyoandaliwa na CCM DMV wakiwa kwenye mstari wa kuchukua chakula.
Watanzania na marafiki zao wakiwa kwenye futari ya pamoja.
Watanzania waliojumuika pamoja katika Futari iliyoandaliwa na CCM DMV wakipakua chakula
Wakina mama na watoto wao wakiwa kwenye mjumuiko huo wa futari ya pamoja.
Sheh Omar akiwa nae kwenye Futari hiyo.
Comments
Post a Comment