TASWIRA ZA KUAGA MWILI WA MWANDISHI WA HABARI MAREHMEU DAUDI MWANGOSI ZINAZOENDELEA HIVI SASA ITETE TUKUYU MKOANI MBEYA...!!!

 Mwili wa Marehemu Daudi Mwangosi ukiwa una andaliwa kwa ajili ya kutolewa Heshima za mwisho
 Muheshimiwa Mark Mwandosya akitoa Heshima za Mwisho
 Muheshimiwa Dr Slaa akitoa Heshima za mwisho

 Ndugu jamaa na Marafiki wakitoa Heshima za Mwisho
Mke wa Marehemu akitoa heshia zake za Mwisho
 Ma elfu ya watu wakipita kutoa Heshima zao za mwisho
 Huko Jikoni Mambo yanaendelea 
 Mama Mzazi wa Marehemu Daudi Mwangosi akiwa analia kwa Uchungu

Dr Slaa akiwa pamoja na Mh. Mark Mwandosya

JG BLog inatoa pole kwa familia ya marehemu na inalaani vikali kitendo kilicho toekea hadi mpiganji Daudi Mwandosi kufikwa na mauti. Bwana ametoa na Bwana ametwaa, Jina lake lihimidiwe.

Picha zote na habari kwa hisani ya Mbeya yetu Blog

Comments