Mwanamuziki Kutoka Tanzania katika miondoko ya RnB anaekwenda kwa jina la Steve RnB leo amepata Manager mpya ambaye atakuwa akisimamia kazi zake zinazohusiana na muziki wake. Manager Wake Mpya anaitwa Seif Kabelele wa tovuti ya www.kabelelejr.blogspot.com
Way to go my brother Seif big up sana & I wish you all the best.
Much love
JG
xoxox
Cheki wimbo wa Steve RnB unaoenda kwa jina la 'One Love'
Way to go my brother Seif big up sana & I wish you all the best.
Much love
JG
xoxox
Cheki wimbo wa Steve RnB unaoenda kwa jina la 'One Love'
Comments
Post a Comment