Mkuu wa kitengo cha Vodacom foundation akizungumza na wakina mama wa wilaya ya Mkuranga Mkoani Pwani, waliojitokeza kupata matibabu katika kambi maalum iliyoadhiliwa na Chama cha madaktari wanafunzi Tanzania, na kufadhiliwa na Vodacom Foundation.
Baadhi ya wakazi wa Wilaya ya Mkuranga Mkoani Pwani wakisubiria kupata huduma za matibabu katika kambi maalum iliyoandaliwa na Chama cha Madaktari Wanafunzi Tanzania, na kufadhiliwa na Vodacom Foundation. Matibabu hayo yalitolewa bure kwa wakazi wa wilaya hiyo. Mmoja wa wakazi wa wilaya ya Mkuranga Mkoani Pwani akipimwa uzito na urefu, katika kambi maalum ya utoaji wa huduma za afya iliyoandaliwa na Chama cha Wanafunzi madaktari na kufadhiliwa na Vodacom Foundation, Mamia ya wakazi wa wilaya hiyo walitibiwa na kupata ushauri wa afya bure. Mmoja wa wakazi wa wilaya ya Mkuranga Mkoani Pwani akijiandikisha kupata huduma za Afya, katika kambi maalum ya utoaji wa huduma za afya iliyoandaliwa na Chama cha Wanafunzi madaktari na kufadhiliwa na Vodacom Foundation, Mamia ya wakazi wa wilaya hiyo walitibiwa na kupata ushauri wa afya bure. Mmoja wa wakazi wa wilaya ya Mkuranga Mkoani Pwani akijiandikisha kupata huduma za Afya, katika kambi maalum ya utoaji wa huduma za afya iliyoandaliwa na Chama cha Wanafunzi madaktari na kufadhiliwa na Vodacom Foundation, Mamia ya wakazi wa wilaya hiyo walitibiwa na kupata ushauri wa afya bure.
---
Mkuranga, Katika jitihada za kuboresha upatikanaji wa huduma za afya katika maeneo ya vijijini. Vodacom foundation imeendesha kambi ya matibabu kwa wakazi wilaya ya Mkuranga Mkoani Pwani.Wakazi hao wamepata huduma za afya bure, na ushauri katika kambi hiyo. Ushauri kuhusu masuala ya huduma za uzazi wa mpango pia zilitolewa.
Comments
Post a Comment