CASE YA MTOTO ANETH ALIYECHOMWA MKONO NA SHANGAZI YAKE YAFIKISHWA MAHAKAMANI NAE APELEKWA KUTOA USHAHIDI...!!!

Mtoto Aneth katikati akiwa na mama yake mzazi (kulia) wakiingia mahakamani mapema leo.
Shangazi wa mtoto Aneth aneshitakiwa kwa kosa la kuunguza mkono mtoto Aneth akiingizwa mahakamani huku akiwa hataki kupigwa picha kabisa
Wakazi wengi wa jiji la Mbeya na vitongoji vyake waalijitokeza kwa wingi kusikiliza kesi hiyo
Mtoto Aneth akisalimiana na mama aliyemhudumia hospitalini kabla ya mama yake mzazi kuja kutoka Bukoba
Mama Aneth akiondoka na mwanae mara baada ya hakimu kumuona mtoto huyo na kupata maelezo mafupi kutoka kwake na kushindwa kuendelea kuongea mara baad ya kumuona shangazi yake huyo aliyemchoma moto akiingia katika chumba cha mahakama. Kesi hiyo imeairishwa mpaka tarehe 6 December 2012.
Mtoto Aneth mara baada ya kutoka katika chumba cha mahakama akisubiri kurudishwa katika hospitlai ya Rufaa Mbeya kwaajili ya kuendelea na matibabu
Wakina mama wenye jazba walitaka hakimu awaachie japo kidogo kwa daika tano tu wamfunze adabu mthumiwa huyo kwani wanadai amewadhalilisha sana kwa vitendo vya unyanyasaji alivyo mfanyia mtoto Aneth hadi kupeleka kukatwa mk.
Wakina mama wenye hasira kali wakiwa nje ya mahakama hiyo.
Habari na picha kwa hisani ya Mbeya Yetu

Comments