PICHA CHACHE ZA UTENGENEZAJI WA VIDEO MPYA YA SHILOLE INYAOENDA KWA JINA LA DUDU...!!!




Staa wa Movie na Muziki Tanzania Zuwena Mohamed aka “Shilole” anajiandaa kutoka na video ya songi lake linaloitwa ‘Dubu’ ambamo ndani yake ameshirikiana na Q-Chilla. 

Kwa mujibu wa habari ambazo tumezipata, tayari kazi ya upigaji picha za video zimekamilika ambapo kampuni ya ‘Kwetu Studio’ ndio iliyohusika kusababisha.

Comments