Mhe. Ummy mwalimu akiwa pamoja na Kamishna Msaidizi wa Polisi na Mkuu wa Dawati la Jinsia la Polisi, Adolphina Chalo, Katibu Tawala Tarime Erenest Kabohora na Mwenyekiti wa halmashauri Tarime
Mmoja wa wananchi akichangia hoja wakati wa mkutano wa hadhara kuhamasisha kuacha vitendo vya Ukeketaji
Sehemu ya wanawake waliohudhuria katika mkutano wa hadhara juu ya uhamasishaji wa kuachana na vitendo vya ukeketaji
Kundi la Vijana wakisherekea baada ya watoto wa kike kukeketwa
Kijana wa kiume akiimarisha ulinzi kwa mtoto wa kike ambaye amekeketwa wakati wa sherehe za Ukeketaji Tarime
Mhe.Ummy Mwalimu katika picha ya pamoja na wazee wa mila katika kijiji cha Kiongera, Kamishna Msaidizi ,Katibu Tawala na Mwenyekiti wa Halmashauri.
---
Pichani ni matukio mbalimbali kufuatia ziara ya Mhe. Ummy Mwalimu
Naibu Waziri ,Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto wilayani
Tarime kuhamasisha wananchi wa Tarime kuachana na ukeketaji kwa
watoto wa kike. Mhe.Ummy yupo Wilayani hapa kwa ziara ya siku tano
kuhamasisha wananchi kuachana na ukeketaji kwa watoto wa kike. Pamoja
nae ameambatana na Kamishana Msaidizi Mwandamizi wa Polisi ambaye pia
ni Mkuu wa dawati la Jinsia la Polisi Makao Makuu Adolphina Chalo.
Comments
Post a Comment