Mkurugenzi wa huduma za utabiri Dr Hamza Kabelwa akifafanua jambo kwa washiriki. Kwa kutambua mchango mkubwa wa vyombo vya habari katika kufikisha ujumbe kwa jamii,Mamlaka imeandaa warsha ikiwa na lengo la kupata lugha rahisi kueleweka kwa umma bila kuleta mkanganyiko pindi taarifa za hali ya hewa zinapotolewa
Comments
Post a Comment