NAIBU WAZIRI WA ELIMU PHILIP AUGUSTION MULUGO ATOA KALI NYINGINE NA KUSEMA " HAJUI LOLOTE KUHUSIANA NA MITIHANI YA KIDATO CHA SITA INAYOENDELEA"...!!!

"Sina taarifa yoyote kuhusiana na kuanza kwa mitihani ya kidato cha sita, kwasasa nipo kwenye kikao cha NEC, labda waulizeni waliopo DSM ofisini. Alipoulizwa zaidi aliendelea kusema mimi sijui kuhsuiana na mitihani ya kidato cha sita. Huyu ndie Naibu waziri wa elimu ndugu Mulugo."
Hivi huyu waziri bado yupo tu na anaangaliwa aisee ni aibu kubwa sana I hope atashughulikiwa.
Comments
Post a Comment