HABARI KUTOKA UCHAGUZI KENYA...!!!

Nani kuibuka mshindi usiku huu???
Habari kutoka Uchaguzi wa Kenya ni kwamba Mgombea wa chama cha Jubilee Uhuru Kenyatta anaongoza kwa 52% na Raila Odinga ana 32%, bado kura zinaendelea kuhesabiwa ila this time ni Electronics tupu so hakuna ubabaishaji!!

Uhuru Kenyatta (TNA) 414, 973, Raila Odinga (ODM) 279, 773, Musalia Mudavadi (UDF) 16, 355


....................... Stay right here!! Stay Tuned!! More updates on the way


Comments