![]() |
Mr & Mrs Boz Mwambije pamoja na watoto wao |
![]() |
Maharusi katika pose |
![]() |
Lovely family hongereni sana ndugu zangu |
![]() |
Mashallah ulipendeza sana ndugu yangu, Walisema haywi mbona yamekuwa!!! Mungu akubariki sana mamii pamoja na familia yako |
Karibuni kwenye chama na hongerni sana. Mungu aibariki ndoa yenu na nyumba yenu. Ndoa ni jambo la kheri na yenye kumpendeza Mungu. Nawatakia kila la kheri.
Mingi love
JG
xoxox
Comments
Post a Comment