![]() |
Tume ya Utumishi wa Bunge kutoka kushoto ni Said Othman Yakubu, Mh.Godfrey Zambi, MH. Job Ndungai Naibu Spika wa bUnge, Mh. Saleh Ahmed Pamba na Mh. Beatrice Shelukindo |
Pichani ni baadhi ya watanzania waishio nchini UK wakiwa kwenye mkutano mfupi na watumishi wa Bunge walipo kuw nchini Uingereza kwenye ziara ya Bunge |
Mmoja wawadau akiuliza swali huku wengine wakisikiliza kwa makini |
Mh. Beatrice Shelukindo akijibu swali |
Wadau wakifuatilia kikao |
Mh. Job Ndungai akichangia hoja |
Maswali yakiendelea kumi |
Mh. Zambi akijibu swali
![]() |
Mr & Mrs Malume wakifuatilia mkutano |
![]() |
Mwenyekiti wa TAWA UK Mariam Kilumanga pia alihudhuria |
![]() |
Ndugu Haruna Mbeyu (Meya wa London) akimwaga sera zake |
![]() |
Mwenyektiti wa watanzania London Ndugu Said Surur akifuatilia mkutano |
![]() |
Meya akiendela kumwaga sera zake |
Ndugu Hilal nae alikuwepo |
Kaka Shabani Kawawa akichangia hoja na pia aliwashukuru waheshimiwa kwa muda wao wakukutana na watanzania na kuwapongeza kwa kazi nzuri wanyao ifanya |


![]() |
Baadhi ya wanawake waliohudhuria mkutano wakiwa katika picha ya pamoja na waheshimiwa. Wanawake oyeeeeeeee |
![]() |
Watumishi wa Bunge wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa watanzania UK |
![]() |
Picha ya pamoja na baadhi ya wadau walio hudhuria mkutano huo |
Nikiwa katika picha ya pamoja na Mh. Job Ndungai |
![]() |
Mh. Ndungai katika picha ya pamoja na Mariam Kilumanga |
![]() |
Mh. Ndungai, Katibu wa CCM Mariam Mungula na meya wetu Haruna Mbeyu katika picha ya pamoja |
![]() |
Mariam akimtambulisha mume wake Abeid Khamis kwa Mh. Ndungai |
![]() |
Mh Ndungai katika picha ya pamoja na Mwenyekiti wa watanzania London Said Surur, Katibu wa CCM Uk Mariam Mungula na mume wake Abeid Khamis |
Moi & Mariam Kilumanga |
Wanawake tuliwakilisha. |
Comments
Post a Comment