SHEREHE YA MAHAFALI YA KWANZA YA CHUO CHA MAFUNZO YA JINSIA (GTI).

Mwenyekiti wa Bodi ya GTI,Marry Rusimbi (aliyesimama) akihutubia


Baadhi ya wafanyakazi wa TGNP wakiwa katika mahafali
Baadhi ya wahadhiri wa chuo cha mafunzo ya Jinsia GTI wakiwa kwenye mahafali
Bendi ya Jeshi la Polisi Tanzania ikiwajibika katika mahafali hayo
Bendi ya Polisi ikiwajibika
Maandamano mgeni rasmi na viongozi wa GTI na TGNP
Maandamano ya mahafali
Maandamano ya mgeni rasmi na viongozi wa GTI na TGNP
Mgeni rasmi, John Mnyika akizungumza
Mkuu wa Chuo cha Mafunzo ya Jinsia, Dk. Diana Mwiru (kulia) akihutubia katika hafla hiyo
Mmoja wa wahitimu wakitunukiwa cheti cha mafunzo ya GTI na mgeni rasmi, John Mnyika

Comments