Nay wa Mitego alipopanda jukwaani kwa mara ya kwanza na kukamua ngoma zake kali.
Mzuka ukampanda zaidi hadi akavua koti na kukamua kwa hisia kali.
…Akidhihirisha kuwa yeye ni noma jukwaani.
…Akiwa na Ommy Dimpoz ambaye alitokea muda mfupi kumpa tafu.
Picha zote kwa hisani ya GPL
Comments
Post a Comment