MIAKA 13 YA LADY JAYDEE 'ANAKONDA' NI FUNIKA MBAYA NYUMBANI LOUNGE PALIKUWA HAPATOSHI.

 Hivi ndivyo hali ilivyo ndani ya Ukumbi huu wa Nyumbani Lounge,Namanga jijini Dar es Salaam ambapo leo hii kuna bonge moja la show la Mwanadada mkongwe kwenye tasnia ya muziki hapa nchini,Lady Jay Dee ambaye anatimiza miaka 13 tangu alipoanza kazi yake ya muziki.katika show hii wanamuziki mbali mbali watapanda jukwaani aliwepo Mh. Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini,Mh. Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu.
Wadau mbali mbali wa muziki hapa nchini wapo ndani ya ukumbi huu hivi sasa kusuhudia show hii ambayo ilikuwa ikisubiriwa kwa hamu na wapenzi wa muziki.
Ndani ni nyomi la hatari,lakini nje nako watu bado wanataka kuingia huku wengi wao wakisema kuwa "hata kama hakuna siti,sie tuko radhi kusimama ilimradi tumsapoti Dada yetu.
 Getini mambo yako namna hii.
Foleni bado ni ndefu na watu bado wanazidi kuingia ukumbini hapa hivi sasa.
Umati wa watu unaoshuhudia show ya Lady J Dee sasa hivi hapa Nyumbani Longe.
Lady J Dee anatoa burudani ya kutosha kwa mashabiki.
Professa Jay akiwa back stage anajiandaa kupanda jukwaani kutoa burudani nzuri kwa mashabiki
 
Miaka 13 ya Lady j Dee#sasa hivi ndiyo Mh.Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu ameingia
Lady J Dee anatoa burudani ya kutosha kwa mashabiki.
Lady J Dee anatoa burudani ya kutosha kwa mashabiki.
Team Times Fm 100.5 (Dj Jors Bless,Ndimbo na Mariam)
Sugu na Mkoloni wanatoa burudani kali kwa mashabiki.
Mama mzazi wa Lady J Dee naye amekuja kushuhudia show ya mwanae.
Juma Nature anatoa burudani kwa mashabiki
Sugu akitoa burudani kali kwa mashabiki
M 2 The P akiongea machache baada ya kukaribishwa kwenye jukwaa na Juma Nature.

Comments