Ndugu Wanajumuia,
Kwa masikitiko makubwa natoa taarifa ya kifo cha ndugu yetu
mpendwa JEROME DAVID MPEFO,
kilichotokea leo Jumatano (12/06/2013) majira ya saa mbili usiku
katika hospitali ya MD Anderson alipokuwa amelazwa.
Taarifa zaidi zitatolewa baadaye.
Kwa mawasiliano zaidi wasiliana na wanajumuia wafuatao;
1)Emmanuel Katili - 281 794 0806
2)Peter Mpefo - 832 366 3303
Msiba upo katika anuani ifuatayo;
12511 TRACELYNN LANE
HOUSTON TX 77066
Kutakua na kikao cha dharura nyumbani kwa marehemu kesho (Alhamisi) Juni 13 saa mbili usiku , Wanajumuia mnaombwa kuudhuria kwa wingi.Tafadhali mfahamishe na mwingine upatapo taarifa hii.
Wenu katika Jumuia,
Juma Maswanya.
281-989 3724.
Kwa masikitiko makubwa natoa taarifa ya kifo cha ndugu yetu
mpendwa JEROME DAVID MPEFO,
kilichotokea leo Jumatano (12/06/2013) majira ya saa mbili usiku
katika hospitali ya MD Anderson alipokuwa amelazwa.
Taarifa zaidi zitatolewa baadaye.
Kwa mawasiliano zaidi wasiliana na wanajumuia wafuatao;
1)Emmanuel Katili - 281 794 0806
2)Peter Mpefo - 832 366 3303
Msiba upo katika anuani ifuatayo;
12511 TRACELYNN LANE
HOUSTON TX 77066
Kutakua na kikao cha dharura nyumbani kwa marehemu kesho (Alhamisi) Juni 13 saa mbili usiku , Wanajumuia mnaombwa kuudhuria kwa wingi.Tafadhali mfahamishe na mwingine upatapo taarifa hii.
Wenu katika Jumuia,
Juma Maswanya.
281-989 3724.
Comments
Post a Comment