MKURUNGEZI WA UFUNDI NA MWANDISHI WA MWANAHARAKATI MZALENDO BLOG ASHEREKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA.

Tarehe 19 mwezi wa Saba NI Siku ya KUZALIWA kwa KRANTZ MWANTEPELE (CTO & author)  ambaye NI MKURUNGEZI wa UFUNDI PIA MWANDISHi wa mtandao wa MWANAHARAKATI MZALENDO BLOG

Hapa krantz mwantepele Ze blogger Akiwa na Mzee j kitime new Africa hotel  Moja ya Hafla iliyowakutanisha mablogger na iliandaliwa na kampuni ya simu ya mikononi ya TIGO

Nawakaribisha katika sherehe yangu ya KUZALIWA tufurahi kwa pamoja na tuendelee kutembelea MWANAHARAKATI Mzalendo blog link NI www.mwanaharakatimzalendo.blogspot.com


Comments