LE MUTUZ AJIACHIA KWENYE UZINDUZI WA WA VIDEO MPYA YA DIAMOND PLATNUMZ SERENA HOTEL.

 Diamond Platnumz usiku huu afanya ufunguzi wa video yake mpya katika hoteli ya Serena na kumpatia zawadi ya gari mstaafu wa msondo ngoma Mzee Muhidini Gurumo
 Mzee Gurumo akiwa kwenye gari lake alilozawadiwa na Diamond Platnumz
Le Mutuz akiwa na super star Diamond Platnumz
 King of social media akiwa na stars wa Bongo movies
 Le Mutuz akiwa Mchumba wa Diamond Platznum.
 Le Mutuz and  Actress Jackline Wolper.
 Le Mutuz & Salma.
 Le Mutuz & Sauda Mwilima.
Le Mutuz & Irene Uwoya.
 -------------------------------
Le Mutuz King of all social Media networks na mabebs wakarezzzzzz kama vipi mjipange upya

Comments